Kwanini hauna pesa? Soma hapa


Inawezekana ukawa unafanya kazi ama biashara nzuri inayokuingizia kipato cha kutosha lakini kutokana na sababu usizozijua huwa ukijikuta ni mtu wa kuishiwa na kujikuta kuwa huna pesa. Kama umekuwa ukiishi hivi na kuwa mtu wa kuishiwa na kushindwa kuwa na pesa za kutosha, makala hii ni muhimu sana kwako. Je, unajua ni sababu zipi zinakufanya ushindwe kuwa na pesa ya kutosha katika maisha yako?

Hizi hapa
  1. Una tabia mbaya zinazokuzuia kupata pesa. Kama ulevi, Matumizi mabaya ya pesa, kuangalia TV kwa muda mrefu. n.k
  2. Unazungukwa na watu wengi ambao sio sahihi kwako.
  3. Umekuwa mwongeaji sana bila kuchukua hatua.
  4. Hauna mipango maalumu.
  5. Umekuwa ukikata tamaa mapema.
  6. Umekuwa ni mtu wa kupoteza muda sana.
  7. Umekuwa huna tabia ya kujiwekea akiba.

Comments

Popular posts from this blog

SAIKOLOJIA : PATA KUFAHAMU MAKUNDI MANNE YA TABIA ZA BINADAMU.

Rapa B.o.B ataka kuthibitisha iwapo dunia ni duara

Kanuni za kuishi na Watu / Binadam Vizuri