AMRI KUMI NA SITA (16) ILI KUVUNJA USABATO:

     

Amri halisi kumi za MUNGU zinatoka katika kitabu cha kutoka 20:1-17.=kumb 5:1-21

MUNGU akanena maneno yote akasema, Mimi na BWANA Mungu wako,niliye kutoa katika nchi ya misri katika nyumba ya utuma:-
1.      Usiwe na miungu mingine ila mimi
2.      Usijifanyie sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chichote kilicho juu mbinguni wala chini duniani wala kilicho majini chini ya dunia,usivisujudie wala wala kuvitumikia kwa kuwa mimi,BWANA, Mungu wako ni Mungu mwenye wivu nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao name nawarehemu wanamaelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu. Hii amri kwao haipo na wameiondoa kabisaaa na kuifuta kwani wanatumia katikisimu takatifu, wala hawatumii amri zilizoko kataika biblia.kwa hakika ukiiondoa hii zinabaki tisa pekee.
(Yatatu wameifanya ya pili na ya pili wameiondoa kabisaa haipo hata.
3.      Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hata mhesabia kuwa hana hatia mtu alita jaye jina lake bure. Na hii ya tatu walio ifanya ya pili nayo haijakamilika kabisa, ya kwao inasema:- “usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako”.
4.      Ikumbuke siku ya Sabato uitakase siku sita fanya kazi utende mambo yako yote,lakini siku ya ssaba ni Sabato ya BWANA Mungu wako siku hiyo usifanye kazi yoyote wewe wala mwana wako wala mjakazi wako wala mnyama wako wa kufuga wala mgeni alie ndani ya malango yako. Maana kwa siku sita BWANA alifanya mbingu nan chi na bahari na vyote vilivyomo akastarehe siku ya saba kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya saa akaitakasa. {Wao wanasema kishike kitakatifu siku ya MUNGU,imeishia hapo na haina mwendelezo}
5.      Waheshimu baba yako ya mama yako siku zote za maisha yako siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi uliyo pewa na BWANA Mungu wako,
6.      05;Usiuwe, bila kuudhiwa wala kukosewa ila ukikosewa uwa; mf:-wale watakao mkataa kuishika siku ya jumapili kama siku ya kuabudu na kuitumikia [WASABATO] ndiyo wano lengwa hakika wasabato wanachukiwa sana. Lakini muonapo hayo yote changamkeni mvi inueni vichwa vyenu [Yohana 16:2-wata watenga na masinagogi; naam saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea MUNGU ibada]
7.      06;Usizini,bila ruhusa ukiruhusiwa zini fanya upendavyo,kwa madada poa wale wanaojiuza kwani wataruhusiwa wala hakuna sharia ya kuwakanya kwani watakuwa awakilipa kodi na watakuwa hata na wanasheria wao watako kuwa waki wasimamia.
8.      07;Usiibe,bila kukosa ukikosa iba ili ukidhi maisha yako,hivyi hata wizi utafikia hatua utaruhusiwa katika ulimwengu wote
9.      08;Usimshudie jirani yako uongo,
10.  Usitamani mke wa jirani yako wala mtumwa wake wala mjakazi wake,wala ng’ombe wake wala punda wake wala cho chote alicho nacho jirani yako. 09 usitamani nyumba ya jirani yako na wewe jenga, 10: usitamani mke wajirani yako bila kumpenda,na ukimpenda, penda kwa vitendo
11.  Kumheshimu PAPA kama nafsi ya MUNGU hapa duniani na apingae kufa na afe, na asemapo ni sauti ya MUNGU na wala hakosei.
KUKAMILISHA KUSUDI LAKE HILO:
Mlaghai huyu mkuu anasema……. Shughuri yetu kuu ni kulinyamazisha dhebu hili la Wasabato. Yatupasa kuchochea hasira kali ya umaa dhidi yao. Tutaaandikisha wakuu na wenye na hekima wa dunia hii upande wetu, na kuwashawishi wenye mamlaka kutekeleza makusudi yetu. Ndipo sabato niliyo iweka itakapolazimishwa kwa sharia kali mno na zenye kushurutisha. Wale watakao zipuuza wafukuzwa kutoka mjini na vijijini na kuseka kwa njaa na umasikini . Mara tu tutakapo kuwa tumepata hayo mamlaka ndipo tutakapoonyesha kile ambacho kufanya kwa wale amabao hawatayumba katikautii wao kwa Mungu. Tuliliongoza kanisa la Roma kuwaadhibu kwa kuwafunga kuwatesa na kuwauwa wale waliokataa kutii amri zake na kwa vile sasa tunayaleta makanisa ya kprotestanti na ulimwengu katika mapatano na mamlaka hii amabyo ni mkono wa kuume wa uwezo wetu ,basi , hatimaye tutakuwa na sharia ya kuwauwa wote amabao hawatatii mamlaka ytu. Wakati kifo kitkapokuwa ndiyo adhabu ya kuivunja sabato yetu[JUMAPILI] ndipo wengi walio katka safu za hao wazishikao amri watakapokuja upande wetu’(Testmonie to Ministers 472,473) Dhiki kuu,uk.152
12.  Kuwaheshimu wafu kama waombezi wetu mbinguni; Mf: mama Maria mtakatifu mama wa MUNGU, na hapa ndipo ule ujenzi wa makaburi unapo chukua nafasi yake kwani tunawatukuza wafu tukihisi kuwa bado wanasikia sauti zetu toka duniani na wao ndo wanao tuombea huko mbinguni. Hii ni ibada ya umizimu kwani wao ndio wanao tukuza wafu na kuwapa utakatifu kwani tumewasikia wengi wakiitwa watakatifu duniani na kuwaweka hata katika baadhi ya vitabu au kuyapa makanisa majina yao nakuwaita watakatifu  na kuwaomba watuombee [Mhubiri,12:7-Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyo kuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa]
13.  Kuiheshimu Jumapili kama siku ya Ibada  ulimwenguni kote, kwani ni siku ya BWANA kila kitu kifanyike hadi siku ya jumamosi (SABATO)
14.  Pokea kadisisiti ya msamaha wa dhambi alama ya “666”, biashara kubwa zifanyike kwa kadi hiyo
TANGAZO KUHUSU KUNUNUA NA KUUZA;
Katika pambano kuu la mwisho kayika vita na shetani wale walio waaaminifu kwa Mungu wataona kila aina ya mssada wakibinadamu ukiondolewa kwao . kwa kuwa hawatakubali kuivunja sharia ya Mungu ili kuzitii mamlaka za kidunia wata pigwa marufuku wasiweze kununua wala kuuza (Desire of Ages 1212,122)
SHETANI atasema……..kwa hofu ya kukosa chakula na nguo watajiunga na ulimwengu katika kuivunja sharia ya Mungu . dunia yote itkuwa chini ya utawala wangu      (Prophets and Kings 183,184 Anglia pia  vol.5Testmonies 152)
UTAJIRI ULIO LIMBIKIZWA KARIBUNI UTAKUWA HAUNA THAMANI yoyte , wakati tangazo litakapotolewa kwamab hakuna atakyweza kunua wala kuuza isipokuwa ana chapa ya mnyama, ndipo mali nyingi sana itakuwa haina haina faida yiyite . mungu anatutaka kufanya kilalililo katika uwezo wetu sasa kupeleka onyo hili kwa ulimwengu wote  (Review and Herald  21/3/1878)
Wakati unakuja ambapo hatutweza kuuza kwa bei yoyote ile. Hivi punde tanagazo litatolewa kuwakatza watu kununua au kuuza kwa yeyote ispokuwa yule aliye na lama ya mnyama. Tulikaribia sana kushudia utekelezaji wa hili kule Clifonia kipindi kifupi kilichpita ;lakini hili lilikuwa ni dalili ya hatari ya kuvuma kwa zile pepo nne. Hata hivyo bado hatujawa tayari kabisa . Badokuna kazi inayo hiyji kufanyika baada ya hapo malaika waagizwa kuachilia ili pepo hizo nne zipate kuvuma juu ya nchi. Huo utakuwa ni wakati wa kukata maneno kwa watoto wa Mungu wakati wa taaabu amabao wake haukuwepo tngu lilipoanza kuwepo taifa.sas ndiyo nafasi yetu ya kufanaya kazi (vol.5Testmonies 152) Dhiki kuu uk.41
15.  Ndoa za jinsia moja ziruhusiwe ulimwenguni kote kwani ni haki yake na piwa watu hawa wapo wanasheria wakitetea hiki kitu [MASHOGA], kuowana kwa mkataba pia.
16.  Kutokuwachapa watoto maana wako huru atakae chapa motto ashughulikiwe
Mf: Tarehe 20/11,kila mwaka ni siku ya haki ya watoto duniani kote hivyo kwa jinsi hii tunaiona kabisa kuwa wameshaanza kutafuta akili zawatu ili watu wazoee na ikija tokea hivyo watu wote wasikane kwani walisha ikubali mwanzo hivyo inakuwa sheria katika ulimwengu wote.

Je,wengine watatendewaje na mahakama za sheria?
Jibu; “Wote wanao thibitisha uaminifu wao kwa kutii sharia ya Yehova ni lazima wajiandae kukamatwa na kupelekwa mbele ya mabaraza yao amabayo hayatumii sharia kuu na takatifu ya MUNGU kama kiwangochao”
[Review and Herald 26/12/1899;7Bible Comenteray 9877].
“Rehema za utunzaji za mamlaka hii zitadhirhirishwa katoika vyumba vya magereza na na katika vifungo vya gereza la CHINI YA ARDHI. Tayari maandalizi yanendelea, na harakati zinasonga mbele, ambazo matokeo yake ni kufanyiza sanamu ya MNYAMA” [Review and Herald 23/4/1889]
Kadiri watetezi wa kweri wanavyokataa kuiheshimu sabato ya jumapili baadhi yao watatupwa gerezani wengine watafukuzwa mbali na kwao wengne watatendewa kama watumwa.kwa hekima ya kibinandamu, yote kwa sasa yanaonekana kuwa hayawezekani kabisa kutokea lakiniRoho wa Mungu azuiaye atakapoondolewa kwa wanadamu naowakawa chini ya udhibiti wa shetani,ambaye anazichukia mari za Mungu,kutakuwa na mabadiliko ya ajabu sana. Moyo unaweza kwa ,katili sana wakati hofu ya Mungu na upendo wake vinapoondolewa(Great Controversy 608) uk.42

Je, yawezekana kwamba baadhi  wataweza kujitoa mhanga kabisa?
Jibu: Kuna matarajio mbele yetu ya pambano linaloendelea,kwa hatari ya kifungo,kupoteza mali, na hata maisha yeneyewe kwa kuitetea Sheria ya Mungu [Testminies vol .5 712]
“Kama alivyoyaongoza mataifa ya kipagani kuiangamiza Israeli,ndivyo katika siku za usoni atakavyozichochea mamlaka za uovu za dunia kuwaangamiza watu wa Mungu. Watu watatakiwa kutoa utii wao kwa sharia za kibinadmau kwa kuivunja sharia ya Mungu. Wale walio waaminifu kwa Mungu watatishwa ,watashutumiwa,kutengwa. Watasalitiwa na wazazi,na ndugu, na jamaa na marafiki,’HATA KUFA (Dhiki kuu, uk 43
 LUKA 21;16-19)
Nanyi mtasaritiwa na wazazi wenu ,na ndugu zenu, na jamaa zenu,na rafiki zenu nao watawafisha baadhi yenu ; Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajiri ya jina langu; walakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu; Nanyi kwa subra yenu mtaziponya nafsi zenu.]


Comments

Popular posts from this blog

SAIKOLOJIA : PATA KUFAHAMU MAKUNDI MANNE YA TABIA ZA BINADAMU.

Rapa B.o.B ataka kuthibitisha iwapo dunia ni duara

Kanuni za kuishi na Watu / Binadam Vizuri