Wataalam wa mambo ya saikolojia na maumbile wamezisoma tabia mbalimbali za binadamu na hatimaye wamewagawanya binadamu katika makundi makuu manne yenye kategoria kuu mbili. Kategoria hizo ni Introvant: watu wenye uwezo mkubwa kiakili na wanaotafakari mambo kwa kina hapa kuna makundi mawili 1. Melancolin 2. Fragmetic 2. extrovants: wana uwezo wa kawaida kiakili na hawana tafakari za kina katika mambo yao Hapa kuna makundi mawili 1. Sanguine 2. Colerick Na sasa tuangalie tabia za kila kundi na mienendo yao 1.MELANCOLIN Watu wa kundi hili (females and males) wana sifa zifuatazo -wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient) -ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi -wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu -ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi -wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati -Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana ha
Haki miliki ya picha NASA Mwanamuziki wa Marekani wa mtindo wa rap B.o.B. anatafuta msaada wa kutuma satelaiti kuthibitisha iwapo kweli dunia ni duara. Rapa huyo ambaye jina lake halisi ni Bobby Ray Simmons Jr, ni mmojawapo ya watu wanaoamini kwamba dunia ni kama sahani na sio duara. Baadhi ya wanaomini kuwa dunia ina umbo la sahani wanaodaia wafanyakazi wa NASA shirika la wana anga za juu wanalinda ukingo wa dunia kuzuia watu wasianguke. Anajaribu kuchangisha $200,000 katika mtandao wa kuchangisha fedha wa GoFundMe na mpaka sasa amefanikiwa kukusanya kima cha $650, lakin kampeni hiyo imekuwa ikizungumziwa kwamapana katika mtadao huo. Image caption Msanii wa Marekani B.o.B 'Nionyeshe upinde' "Nimeanzisha kampeni hii kwasababu ningependa kutuma kama sio satelaiti moja basi nyingi katika anga za juu kujaribu kutafuta upinde unaoifanya dunia kuwa duara," alisema katika video iliowekwa kwenye mtandao huo. "Nautafuta upinde," ameongeza B.o.B
Mojawapo ya mambo muhimu katika mafanikio ya aina yoyote maishani ni kupata msaada wa aina Fulani kutoka kwa watu wengine. Mtu hawezi kufanikiwa bila msaada wa watu,kwa maana hakuna mtu anayejua kila kitu/jambo na anayeweza kufanya kila kitu Duniani. Kwa namna yeyote ile mtu anahitaji msaada wa wengine. Hivyo ili kupata msaada wa wengine ni lazima kujua namna ya kuishi na watu vizuri.Ingawa siyo rahisi kumpendeza kila mtu, lakini watu wengi utaishi nao kwa amani. Zifuatazo ni KANUNI na MBINU mhimu za kuishi na watu vizuri. 1: Uwe na tabia ya kupenda watu kwa moyo wote,hali kadhalika na wewe watakupenda. 2: Heshimu kila mtu na kila mtu umwone ni muhimu sana na wa maana. 3: Usimdharau mtu yeyote kutokana na hali yake,hata akiwa ni masikini ,hakuelimika,hana cheo cha juu na kadhalika. 4: Uwe mtu wa furaha na tabasamu unapokutana na watu. 5: Uwe mcheshi na mtu ambaye watu wanafurahi kuwa nawe. 6: Usipende kulaumu watu na kama utalaumu mtu,tumia njia nzuri na ya upole ya kumsaidia na
Comments
Post a Comment