Alicho kipost Diamond muda mfupi baada ya Alikiba kuachia wimbo wake


Muda mfupi baada ya mwimbaji staa Alikiba kuachia video ya wimbo wake mpya ‘Seduce Me’ leo August 25, 2017, staa mwingine wa Bongofleva kutokea WCB, Diamond Platnumz amepost picha kwenye Instagram.







Diamond amepost picha ya mtu akicheka kitu kilichowafanya mashabiki kuunganisha matukio wakidai huwenda picha hiyo ni ujumbe baada ya kuusikia wimbo wa Alikiba.


Comments

Popular posts from this blog

Chimbuko la Illuminati na dhana kuhusu nguvu zao

Njia za Kujikinga na Magonjwa ya Moyo

Kutafuta viumbe anga za juu: Sayari hii ndogo inapita na siri kutoka mbali?