MUHUBURI 9:13-18

13-Pia nimeona hekima chini ya jua,nayo ni kama hivi,tena kwangu mimi ilionekana kuwa ni neni kubwa.
14-Palikuwa na mji mdogo na watu ndani yake walikuwa wachache; akaja mfalme mkuu juu yake akauhusuru akajenga ngome kubwa ili kuupiga.

15-Basi,kulionekana  humo mtu maskini mwenye hekima,naye kwa hekima yake akaukoa mji ule, lakini hata hivyo hapakuwa na mtu yeyote aliyemkumbuka yule mtu maskini.

16-Ndipo niliposema,Bora hekima kuliko nguvu; walakini hekima ya maskini HUDHARAULIWA,wala maneno yake hayasikilizwi.

17-Maneno ya wenye hekima yanenwayo taratibu husikiwa, Zaidi ya mlio wake atawalae katikati ya WAPUMBAVU.

18-Hekima ndiyo bora kupita silaha za vita, lakini mkosaji mmoja huharibu mema mengi




NAKUTAKIA SABATO NJEMA,YENYE FURAHA, TAKATIFU NA MIBARAKA TELE MOYONI MWAKO

MUNGU WA MBINGUNI AWARINDE






I LOVE TANZANIA "ISHI NA MIMI"

Comments

Popular posts from this blog

Kanuni za kuishi na Watu / Binadam Vizuri

SAIKOLOJIA : PATA KUFAHAMU MAKUNDI MANNE YA TABIA ZA BINADAMU.

Chanzo cha saratani ya matiti