MUHUBURI 9:13-18

13-Pia nimeona hekima chini ya jua,nayo ni kama hivi,tena kwangu mimi ilionekana kuwa ni neni kubwa.
14-Palikuwa na mji mdogo na watu ndani yake walikuwa wachache; akaja mfalme mkuu juu yake akauhusuru akajenga ngome kubwa ili kuupiga.

15-Basi,kulionekana  humo mtu maskini mwenye hekima,naye kwa hekima yake akaukoa mji ule, lakini hata hivyo hapakuwa na mtu yeyote aliyemkumbuka yule mtu maskini.

16-Ndipo niliposema,Bora hekima kuliko nguvu; walakini hekima ya maskini HUDHARAULIWA,wala maneno yake hayasikilizwi.

17-Maneno ya wenye hekima yanenwayo taratibu husikiwa, Zaidi ya mlio wake atawalae katikati ya WAPUMBAVU.

18-Hekima ndiyo bora kupita silaha za vita, lakini mkosaji mmoja huharibu mema mengi




NAKUTAKIA SABATO NJEMA,YENYE FURAHA, TAKATIFU NA MIBARAKA TELE MOYONI MWAKO

MUNGU WA MBINGUNI AWARINDE






I LOVE TANZANIA "ISHI NA MIMI"

Comments

Popular posts from this blog

Chimbuko la Illuminati na dhana kuhusu nguvu zao

Njia za Kujikinga na Magonjwa ya Moyo

Kutafuta viumbe anga za juu: Sayari hii ndogo inapita na siri kutoka mbali?