Posts

Showing posts from November, 2017

AMRI KUMI NA SITA (16) ILI KUVUNJA USABATO:

Image
                                                                 AMRI. Amri halisi kumi za MUNGU zinatoka katika kitabu cha kutoka 20:1-17.=kumb 5:1-21 MUNGU akanena maneno yote akasema, Mimi na BWANA Mungu wako,niliye kutoa katika nchi ya misri katika nyumba ya utuma:- 1.       Usiwe na miungu mingine ila mimi 2.       Usijifanyie sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chichote kilicho juu mbinguni wala chini duniani wala kilicho majini chini ya dunia,usivisujudie wala wala kuvitumikia kwa kuwa mimi,BWANA, Mungu wako ni Mungu mwenye wivu nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao name nawarehemu wanamaelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu. Hii amri kwao haipo na wameiondoa kabisaaa na kuifuta kwani wanatumia katikisimu takatifu, wala hawatumii amri zilizoko kataika biblia.kwa hakika ukiiondoa hii zinabaki tisa pekee. (Yatatu wameifanya ya pili na ya pili wameiondoa kabisaa haipo hata. 3.       Usilitaje bure jina la BWAN

ATHARI NA FAIDA ZA MAJINA KATIKA MAISHA YA BINADAMU

Image
Majina yana umuhimu na athari kubwa katika maisha ya mwanadamu. Ukimchagulia jina baya mtoto wako jina hilo linaweza kumfanya awe • Mwehu • Muhuni • Mlevi • Mpenda starehe • Mwizi na kadhalika Ukimchagulia mtoto wako jina nzuri linaweza kumfanya awe • Mpole • Mwenye heshima • Mcha mungu • Mwerevu • Mbunifu • Mtiifu • Mwenye Imani na kadhalika AINA YA MAJINA Kuna aina nyingi ya majina mfano:- • Jina la kuzaliwa • Jina la kubandikwa au la utani • Jina la umaarufu JINA LA KUZALIWA Ni jina ambalo mtu hupewa baada ya kuzaliwa watu wengi hutumia jina hili kwa maisha yake yote. JINA LA UTANI Ni jina ambalo mtu upewa kutokana na mambo yafuatayo:- MAUMBILE Ukiwa mfupi sana, mrefu sana, mwembamba sana, mnene sana au pia ukiwa mlemavu unaweza kubandikwa jina la utani. TABIA Ukiwa na tabia mbaya kama vile mwizi, mlevi, mzinzi, msengenyaji, kuomba omba pia watu wanaweza kukupa jina la utani. Ukiwa na tabia nzuri sana kama vile mkarimu, mtoaji, muucha mungu watu pia wanaweza kukupa jina la utani.

SOMA HII STORY KWA WASIO VUNJA UKIMYA KWA WAPENDAO NA KUKAA KIMYA

Image
1st year nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu,niliyekuwa nikimuita "Bestfriend"nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu,lakini yeye hakuwa akitamani hilo na n ilikuwa nikilitambua hilo. Baada ya leacture,alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita.baada ya kumpa akasema "asante" na kushikana mikono na mimi.I wanted to tell her,i want her to know that i don't want us to be just friends,i love her but i'm just to shy,and i don't know why 2nd year Simu yangu iliita,kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart,she asked me to come over because she didn't want to be alone,kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji,as i sat next to her on the sofa,nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu.Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie m
Image
  Sanaa ya Kutongoza(Art of Seduction) ni sanaa yenye mambo mengi,lakini mara nyingi ni sanaa ambayo inaconcentrate kwenye attention ambayo wanaume wengi wanapenda na wanataka kuipata kutoka kwa wanawake. Leo nikaona si vibaya kama nikishare tips muhimu ambazo zitawasaidia kumpata mwanamke yeyote yule unaetaka kuwa nae, 1. JITAMBULISHE VIZURI KISTAARABU (INTRODUCE YOURSELF PROPERLY)         Kama ndio umekutana nae kwa mara ya kwanza,hakujui na wewe humjui,ni vizuri ukajitambulisha vizuri kwa ustaarabu(usela,mapozi na uhuni weka pembeni),kama alikuwa anatembea unataka kumsimamisha,tumia lugha nzuri kumsimamisha,na usije ukasimama ukadhani atakufuata,changamka mfuate wewe,mkiwa mnatembea wote,jitambulishe vizuri,epuka maneno yatakayomkera,usimuulize maswali yatakayochokonoa maisha yake binafsi kwa kuwa bado hamjazoeana sana(Dont ask her personal questions) 2. ONGEZA MVUTO WAKO WA KIMWILI (UPGRADE YOUR PHYSICAL ATTRACTION)          Wanawake wengi wanapenda wanaume

ATHARI ZITOKANAZO NA MSONGO WA MAWAZO NA JINSI YA KUKABILIANA NAZO

Image
Watalamu wa masuala ya saikolojia wanasema ya kuwa kila binadamu, huwa na msongo wa mawazo, hii ni kutokana na sababu mbalimbali za kimaisha ikiwemo na changamoto za kimahusiano, na mambo mengine mengi. ATHARI ZITOKANAZO NA MAWAZO (STRESS )   1. Kuwa na mawazo husababisha mwili kuwa dhoofu, pia muda mwingine kuweza kusababisha magonjwa mengine. 2. Kupatwa magonjwa ya shinikizo la moyo, ni sababu tosha kwamba chanzo chake ni msongo wa mawazo. 3. Kuharibika kwa nywele ikiwa ni pamoja na kukatika kwa nywele hivyo unapoona nywele zako hazikui vyema wakati unazihudumia vizuri, tatizo huweza kuwa ni hilo la msongo wa mawazo pia. 4. Akili kushindwa kufanya kazi vizuri. Njia za kuondoa msongo wa mawazo 1. Kukwepa vyanzo vya msongo wa mawazo:- Usipende kukaa na wanaokusababaishia ama kukupa msongo wa mawazo, tafuta mazingira mengine tofauti na hayo. 2. Badilisha mazingira:- Hii inaweza kukusaidia kwani itaupa nafasi ubongo wako kufikiri mawazo mengine mapya. Wengine hupendelea kutembelea sehe

JINSI YA KUKABILIANA NA HASIRA

Image
Kuwa na hasira ni hali ambayo inaweza kutokea wakati wowote katika maisha ya mwanadamu, ni hali ambayo huja pale tu mtu anapokuwa amesababishiwa na jambo flani au hali asiyoipenda. Kila binadamu huwa na kiwango anachoweza kumudu hisia zake, kunawengine ni dhaifu katika kumudu hisia zao, ziwe hasi au chanya, na kunawengine wana vifua vya kumudu hisia zao, japo kila kitu kinawezekana endapo utaamua. Ninaposema hisia hasi namaanisha zile hisia mbaya zinazokuijia na kukufanya uwe ni mwenye hasira, kwa mfano mtu amekutukana, amekudharau au amekudharirisha mbele za watu. Hisia chanya ni hisia nzuri lakini zinazohitaji kiasi na wakati sahihi wa kuziruhusu kutumika, kwamfano umetumiwa sms kuwa umeshinda kiasi flani cha pesa, lakini uko kwenye kikao na wakuu wako wa kazi, je utapiga yowe, lah hasha! utapaswa kutunza hisia zako hadi utakapofika eneo sahihi la kutoa hisia zako. Ukiangalia hata katika maandiko matakatifu, suala la hasira limezungumziwa pia, kwa mfano  "Mtu wa hasira huchoch

NJIA ZA KUMPATA MPENZI WA MOYO WAKO.

Image
 Jambo la msingi unalopaswa kujua ni kwamba, unapoamua kumtafuta mpenzi wa kweli, lazima utakutana na hali ya kukataliwa kwa mara kadhaa, yani wote mkiwa wakataaji na wakataliwa (yupo utakaye mkataa na yupo atakayekukataa).  Watu wengine wanapokumbana na hali hii, hujikuta wakiwa ni wenye hasira, mawazo, aibu na kukata tamaa ya kuendelea kutongoza.Watu wengine hutafuta mtu mwingine haraka haraka ili kuziba nafasi ya kukataliwa,  lakini wengine pia hushindwa kujizuia kurudia kuwakatalia watu wawili watatu, hivyo huamua tu kumkubalia mwanamke au mwanaume anapokuwa akimtongoza, hivyo kujikuta amedumbukia katika penzi lisilo na afya. Unapokataliwa na watu kadhaa, usilichukulie swala hilo kuwa ni swala zito saaana, kwani watu wengine wanaweza kuwa wanaamua tu, kukukatalia kwa sababu za kijuu juu tu, zisizo na maana yoyote. Kwa mfano uoga, aibu n.k.Unapaswa kutulia na kutojutia kwa tendo hilo, bali changamoto kama hizi hukupatia uzoefu uzoefu katika mahusiano yenye afya. Weka mambo katika

JINSI YA KUANZISHA BIASHARA YAKO NDOGO NA IKAKUTOA KIMAISHA

Image
J e   unawazo la kuanzisha biashara yako, lakini hujui aina ya biashara itakayokutoa kimaisha? hapa chini kunanjia muhuimu zitakazokusaidia ili uweze kuanzisha biashara yako ndogo itakayokuwezesha kusonga mbele kimaisha. H uenda ukawa umegundua kuwa kuna mawazo au aina milioni moja za biashara, lakini ukachagua wazo moja tu, ambalo hilo utakuwa umefanya maamuzi magumu na yapekee kulipa kipaumbele. Japokuwa haina haja ya kulipa kipaumbele wazo moja tu na kuliona ndilo la pekee katika kuanza biashara yako ndogo. W azo lolote lile la biashara ulilochagua, ningependa kukushauri kuwa usianzishe biashara ambayo ni maarufu kwa wakati huo, biashara ambayo inafanywa kwa kiasi kikubwa na wafanya biashara walio wengi. Ukifanya hivyo utawanufaisha wafanya biashara wakubwa kwanza halafu wewe utakuwa wa mwisho. Hapo chini ni mbinu au njia chache zitakazokusaidia ili uchague wazo ( idea ) zuri la kuanzisha biashara yako ndogo. W azo lako la kuanzisha biashara yako, ni lazima litokane na sehemu ya s